MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
JIFUNZE KISWAHILI - Search Results

Search Results
Post Author Forum Replies Views [asc] Posted
    Thread: SWALI: Nini maana ya stadi ya kusikiliza? Eleza vipengele vyake
Post: SWALI: Nini maana ya stadi ya kusikiliza? Eleza vi...

SWALI: Nini maana ya stadi ya kusikiliza? Eleza vipengele vyake JIBU Kusikiliza ni stadi inayomuwezesha mtu kupokea maarifa kwa kusikiliza toka kwa mtu mwingine, au kutoka kwenye media zilimorekodiw...
MwlMaeda Maswali na majibu 0 75,164 08-01-2021, 02:56 PM
    Thread: VITENDAWILI NA MAANA ZAKE
Post: VITENDAWILI NA MAANA ZAKE

VITENDAWILI NA MAANA ZAKE A 1. Adui lakini po pote uendako yuko nawe. Inzi 2. Afahamu kuchora lakini hajui achoracho. Konokono 3. Afuma hana mshale. Nungunungu 4. Ajenga ingawa hana mikono. Ndege...
MwlMaeda Semi 0 23,696 08-29-2021, 12:16 PM
    Thread: USANIFISHAJI WA KISWAHILI
Post: USANIFISHAJI WA KISWAHILI

Usanifishaji Wa Kiswahili Usanifishaji wa lugha ni mchakato unaowezesha kupatikana kwa lugha moja yenye namna moja ya uzungumzaji na uandishi. Usanifishaji hutokea katika mazingira yenye vilugha (lah...
MwlMaeda Maendeleo ya Kiswahili 0 22,887 09-06-2021, 04:21 PM
    Thread: MFANO WA TAHARIRI
Post: MFANO WA TAHARIRI

Tahariri ni makala ya mhariri (mkuu) wa jarida/gazeti fulani. Mhariri mkuu hutoa maoni yake kuhusu mojawapo ya maswala ibuka. Sehemu kuu za tahariri ni: Jina la Gazeti/jarida Tarehe/nambari ya tole...
MwlMaeda Uandishi/Utungaji 0 22,669 07-24-2021, 07:24 AM
    Thread: AINA ZA KAMUSI
Post: AINA ZA KAMUSI

MAANA YA KAMUSI Massamba (2012:24) kamusi ni kitabu cha orodha ya maneno katika lugha, yaliyopangwa kwa utaratibu maalum, pamoja na maana au fasili zake; katika uchanganuzi wa lugha haya ni maneno ya...
MwlMaeda Kamusi 1 12,039 06-28-2021, 11:06 AM
    Thread: TOFAUTI KATI YA TENZI NA MASHAIRI
Post: TOFAUTI KATI YA TENZI NA MASHAIRI

Tenzi na mashairi hutofautiana hasa katika vipengele muhimu vifuatavyo: – 1. MUUNDO Tenzi hutumia muundo wa tarbia katika beti zake ambapo mashairi yanauhuru wa kutumia miundo mingine tofauti kama...
MwlMaeda Ushairi 0 10,866 06-14-2021, 12:14 PM
    Thread: MBINU ZA KUFUNDISHIA
Post: MBINU ZA KUFUNDISHIA

MBINU ZA KUFUNDISHIA Mbinu za kufundishia, ni miongozo mbalimbali atumiayo mwalimu wakati wa kufundisha somo aliloliandaa kwa wanafunzi wake. Walimu wanapaswa kuamua kwa kuchagua kwa makini njia na m...
MwlMaeda Nukuu 0 8,593 06-21-2021, 07:22 AM
    Thread: VIPENGELE VYA MTAALA
Post: VIPENGELE VYA MTAALA

Mtaala na falsafa ya nchi Mitaala ni jumla ya mipango na uzoefu ulioratibiwa kwa ajili ya mafunzo ya aina fulani yenye malengo maalumu kwa wanafunzi. Mipango hiyo inaweza kuwa ni mambo, matendo na uz...
MwlMaeda Zana za kufundishia 0 8,464 07-01-2021, 03:19 PM
    Thread: SWALI: ELEZA KWA MIFANO KIIMA NA KIARIFU NA VIJENZI VYAKE
Post: SWALI: ELEZA KWA MIFANO KIIMA NA KIARIFU NA VIJENZ...

SWALI: Eleza kwa mifano Kiima na Kiarifu na vijenzi vyake. James, J na Faustino, M (2014) wanasema Kiima ni kipashio ambacho, aghalabu hutokea kabla ya kitenzi. Kipashio hiki hutaja mtenda au mtendwa...
MwlMaeda Maswali na majibu 0 7,692 12-02-2021, 08:57 PM
    Thread: SIFA ZA MTAMBAJI WA FASIHI SIMULIZI
Post: SIFA ZA MTAMBAJI WA FASIHI SIMULIZI

SWALI: Kwa kutumia hoja tano, eleza sifa za mtambaji wa fasihi simulizi. MAJIBU: a) Asiwe mwoga ili kuweza kuzungumza mbele ya hadhira yake. b) Asiwe na haya ili kuweza kuzungumzia mambo ya aibu in...
MwlMaeda Maswali na majibu 0 7,069 06-21-2021, 08:37 AM
    Thread: SWALI: Taja changamoto zinazoikabili fasihi simulizi kutokana na maendeleo ya sasa
Post: SWALI: Taja changamoto zinazoikabili fasihi simuli...

MAJIBU: Kutoweka kwa mawasiliano ya ana kwa ana baina ya fanani na hadhira. Vitendo vya fanani na hadhira havionekani (kufifia kwa uhai na uhalisia wa fasihi simulizi) Kupungua kwa hadhi, ubor...
MwlMaeda Maswali na majibu 1 6,846 06-14-2021, 07:02 PM
    Thread: UHUSIANO WA FONETIKI NA FONOLOJIA
Post: UHUSIANO WA FONETIKI NA FONOLOJIA

Uhusiano uliopo kati ya Fonetiki na Fonolojia Fonetiki na fonolojia ni vitu viwili ambavyo haviwezi kutenganishwa kamwe.Fonetiki ina mchango mkubwa sana katika taaluma ya fonolojia. Kwa maneno mengin...
MwlMaeda Nukuu 0 6,684 06-14-2021, 12:08 PM
    Thread: NAHAU NA MAANA ZAKE
Post: NAHAU NA MAANA ZAKE

MwlMaeda Semi 0 6,480 06-17-2021, 07:58 PM
    Thread: DHANA YA SILABI, AINA NA MIUNDO YAKE
Post: DHANA YA SILABI, AINA NA MIUNDO YAKE

DHANA YA SILABI NA AINA ZAKE Utangulizi Jumanne, (2014) Silabi ni kipashio cha kifonolojia kinachohusu matamshi ambacho kwacho sauti za lugha hutamkwa mara moja na kwa pamoja kama fungu moja la saut...
MwlMaeda Sarufi na Utumizi wa lugha 0 6,396 11-28-2021, 11:40 AM
    Thread: NAHAU ZA KISWAHILI NA MAANA ZAKE [TRANSLATED SWAHILI SAYINGS]
Post: NAHAU ZA KISWAHILI NA MAANA ZAKE [TRANSLATED SWAHI...

NAHAU ZA KISWAHILI NA MAANA ZAKE [TRANSLATED SWAHILI SAYINGS] Imenukuliwa kutoka Gazeti la HABARILEO, Tanzania la Alhamisi,  Januari 8 – 14, 2015 Na  GENOFEVA  MASAOAmekula chumvi nyingi          ...
MwlMaeda Semi 0 6,346 08-01-2021, 05:15 PM
    Thread: TABIA NA SIFA ZA LUGHA
Post: TABIA NA SIFA ZA LUGHA

Tabia ya Lugha Zifuatazo ndizo tabia zinazojitokeza kwa kila lugha; tabia ambazo zinaihalalisha lugha yo yote kuwa lugha na si vinginevyo. (i) Lugha Ina Tabia ya Kukua Lugha hukua kadri inavyo...
MwlMaeda Sarufi na Utumizi wa lugha 0 6,013 06-22-2021, 06:18 PM
    Thread: AINA ZA TASWIRA
Post: AINA ZA TASWIRA

Taswira ni picha inayojengeka akilini mwa msomaji. Kuna aina tofauti tofauti za taswira. Kama vile Taswira uoni –inajitokeza unapopewa picha ya mtu (umbile) Taswira sikivu- unapewa picha akilini lak...
MwlMaeda Uhakiki wa kazi za fasihi 0 5,701 12-28-2021, 09:35 AM
    Thread: VITENDAWILI VYA KISWAHILI
Post: VITENDAWILI VYA KISWAHILI

1. Aamkapo mtu hakosi kusema hivi: yuaa! – Kupiga miayo.       Ni kawaida kwenda miayo baada ya kuamka.       2. Abeba mishale kila aendako – Nungunungu au hata Kalunguyeye.   m.s. Kalunguyeye ni...
MwlMaeda Semi 0 5,591 08-02-2021, 02:28 PM
    Thread: TOFAUTI KATI YA LUGHA YA BINADAMU NA MAWASILIANO YA WANYAMA
Post: TOFAUTI KATI YA LUGHA YA BINADAMU NA MAWASILIANO Y...

Kwa mujibu wa Masamba na Wenzake Mwaka (1999: 1) “Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu ambazo hutumiwa na jamii kwa madhumuni ya mawasiliano kati yao”. Pia kwa mujibu wa NKWERA F.M.V (1979) “Lugha ni ut...
MwlMaeda Sarufi na Utumizi wa lugha 1 5,188 06-20-2021, 11:18 PM
    Thread: TOFAUTI KATI YA UKALIMANI NA TAFSIRI
Post: TOFAUTI KATI YA UKALIMANI NA TAFSIRI

KINADHARIA NA KIVITENDO Katika makala hii tutaanza kueleza maana ya tafsiri na ukalimani. Sehemu ya pili tutaeleza vipengele vinavyotofautisha taaluma ya tafsiri na ukalimani. Kwa kuanza na maana ya...
MwlMaeda Tafsiri na Ukalimani 0 5,168 06-17-2021, 08:31 PM