MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
AINA ZA TASWIRA

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
AINA ZA TASWIRA
#1
Taswira ni picha inayojengeka akilini mwa msomaji. Kuna aina tofauti tofauti za taswira. Kama vile
Taswira uoni –inajitokeza unapopewa picha ya mtu (umbile)
Taswira sikivu- unapewa picha akilini lakini inayopitia masikio
-(Kana kwamba unaskia sauti masikioni)
Mfano katika wimbo aliomtungia mamake Kongowea kuhusu kifo chake
Taswira mwonjo – mfano Musa na Maksuudi wameandaliwa chakula na Kazija – (unasikia      kana kwamba kuna harufu na wanakula chakula kwa maelezo)
Taswira mnuso – ni pale ambapo mwandishi anakupa maelezo
yanayokufanya unuse harufu. Mfano: Kongowea anapoinusa harufu ya Kazi-Kwisha alipofika kwake siku ya mwisho kutambua ni
babake
Taswira hisi  – wakati msomaji anaelezewa kuhusu kitendo kinachotoa hisia mfano wakati mhusika katika Utengano (Tamima) anachapwa na Maksuudi.
Taswira Mguso  – msomaji anapohisi yuaguswa anaposoma wakati Vumilia anamshika   Kongowea Mswahili akimsihi aende kulala.
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)