MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
JIFUNZE KISWAHILI - Search Results

Search Results
Post Author Forum Replies Views Posted [desc]
    Thread: SHAIRI LA KUMUENZI HAJI GORA HAJI
Post: SHAIRI LA KUMUENZI HAJI GORA HAJI

Tangao la nuru yako, limezunguka bahari Kimbunga kwenye maeko, kimetulia shuwari Yamepita maandiko, kwa kalamu ya kahari Umekwisha mzunguko, kuishi kwenye sayari Lala salama habibi, kipenzi cha wa...
MwlMaeda Watunzi wa Kiswahili 0 998 06-14-2021, 07:11 AM
    Thread: NAFASI YA VYAMA NA TAASISI MBALIMBALI KATIKA MAKUZI YA KISWAHILI
Post: NAFASI YA VYAMA NA TAASISI MBALIMBALI KATIKA MAKUZ...

Kwa Mukhtasari IKIWA idara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI), awali ikiitwa Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI) ni miongoni mwa taasisi kongwe za...
MwlMaeda Taasisi za kukuza lugha 0 1,853 06-14-2021, 07:19 AM
    Thread: KWA MKAPA HATOKI MTU
Post: KWA MKAPA HATOKI MTU

KWA MKAPA HATOKI MTU-KAULIMBIU YA SIMBA ILIYOWAFIKISHA HATUA YA ROBO FAINALI-KONGOLENI KWA KUTUHOMBORA-UCHAMBUZI WA MISEMO AU KAULIMBIU 7 ZA SIMBA Anaandika PhD Dkt. Ahmad Sovu Ndugu zanguni. J...
MwlMaeda Majadiliano ya Wadau wa Kiswahili 0 980 06-14-2021, 08:05 AM
    Thread: TOFAUTI YA TUZO NA TUNZO
Post: TOFAUTI YA TUZO NA TUNZO

Baina ya TUZO na TUNZO Bwana Mohamed Swaleh, maneno yote mawili yatumika. Yategemea tu sehemu kuzungumzwako Kiswahili. Kwa mfano, katika lugha za Kiswahili za Pwani ya Kenya, neno la asili ni "tuzo",...
MwlMaeda Majadiliano ya Wadau wa Kiswahili 0 2,322 06-14-2021, 08:11 AM
    Thread: WASEMAVYO WANAHISTORIA WAARABU KUHUSU WASWAHILI
Post: WASEMAVYO WANAHISTORIA WAARABU KUHUSU WASWAHILI

  سكنَ قوم البانتو الزّنوج ساحل أفريقيا مُنذ ما قبل التاريخ، وبدؤوا بالاتّصال مع أوائل التجار العربِ والفُرس الوافدين إلى المنطقة في القرن الثامن بعد الميلاد، وتوسَّع النشاطُ الإسلامي التجاري بسُرع...
MwlMaeda Maendeleo ya Kiswahili 0 968 06-14-2021, 08:20 AM
    Thread: SHAIRI: HERI KUU NNE
Post: SHAIRI: HERI KUU NNE

HERI KUU NNE: Heri ya kwanza adhimu, ya kutoa maarifa. Kuwapa watu elimu, wa karibu na masafa. Hii ni heri muhimu, isiyokuwa na ufa. Heri kutoa ma'rifa, kuliko kukaa kimya. Ya pili nayo n...
MwlMaeda Ushairi 0 1,072 06-14-2021, 08:27 AM
    Thread: MNYAMBULIKO WA VITENZI
Post: MNYAMBULIKO WA VITENZI

Mnyambuliko wa vitenzi ni jinsi vitenzi vinavyobadilika kulingana na kauli/hali mbalimbali. Kwa mfano kutokana na kitenzi ‘soma’ tunawezapata somea, somewa, somwa n.k. Ni vizuri kuelewa kwamba sio vit...
MwlMaeda Sarufi na Utumizi wa lugha 0 1,448 06-14-2021, 11:26 AM
    Thread: UHUSIANO WA FONETIKI NA FONOLOJIA
Post: UHUSIANO WA FONETIKI NA FONOLOJIA

Uhusiano uliopo kati ya Fonetiki na Fonolojia Fonetiki na fonolojia ni vitu viwili ambavyo haviwezi kutenganishwa kamwe.Fonetiki ina mchango mkubwa sana katika taaluma ya fonolojia. Kwa maneno mengin...
MwlMaeda Nukuu 0 6,684 06-14-2021, 12:08 PM
    Thread: TOFAUTI KATI YA TENZI NA MASHAIRI
Post: TOFAUTI KATI YA TENZI NA MASHAIRI

Tenzi na mashairi hutofautiana hasa katika vipengele muhimu vifuatavyo: – 1. MUUNDO Tenzi hutumia muundo wa tarbia katika beti zake ambapo mashairi yanauhuru wa kutumia miundo mingine tofauti kama...
MwlMaeda Ushairi 0 10,866 06-14-2021, 12:14 PM
    Thread: UMUHIMU WA NADHARIA KATIKA UHAKIKI WA FASIHI
Post: UMUHIMU WA NADHARIA KATIKA UHAKIKI WA FASIHI

Swali (Jadili umuhimu wa nadharia katika uhakiki wa fasihi) nadharia ni jambo la kweli (factual theory) husaidia kutafuta ukweli wa kazi, ni msingi wa kupimia ukweli unaowakilishwa. Ni nyenzo ya kufik...
MwlMaeda Nadharia mbalimbali 0 4,134 06-14-2021, 12:58 PM
    Thread: KUFIKA KWA WAARABU, BIASHARA YA UTUMWA NA UISLAMU
Post: KUFIKA KWA WAARABU, BIASHARA YA UTUMWA NA UISLAMU

WAARABU Waarabu walifika katika pwani ya Afrika ya Mashariki zamani sana; hata haijulikani ni lini walifika Tanganyika kwa mara ya kwanza. Warabu walikuja Tanganyika kufaanya biashara ya dhahabu, w...
MwlMaeda Maendeleo ya Kiswahili 0 4,418 06-14-2021, 03:20 PM
    Thread: FIKRA ZA ARISTOTLE KUHUSU UTENDI
Post: FIKRA ZA ARISTOTLE KUHUSU UTENDI

Pamoja na kuzungumzia tanzia, Aristotle anajadili juu ya utendi. Anasema kuwa utendi unafanana na tanzia katika sifa zifuatazo: (i) Kwa upande wa kuzungumzia kadhia moja kuu inayojitosheleza. (ii) U...
MwlMaeda Nukuu 0 1,152 06-14-2021, 03:43 PM
    Thread: SWALI: Taja changamoto zinazoikabili fasihi simulizi kutokana na maendeleo ya sasa
Post: SWALI: Taja changamoto zinazoikabili fasihi simuli...

MAJIBU: Kutoweka kwa mawasiliano ya ana kwa ana baina ya fanani na hadhira. Vitendo vya fanani na hadhira havionekani (kufifia kwa uhai na uhalisia wa fasihi simulizi) Kupungua kwa hadhi, ubor...
MwlMaeda Maswali na majibu 1 6,846 06-14-2021, 07:02 PM
    Thread: MIIKO YA WASWAHILI/WAAFRIKA NA TAMADUNI ZA ULIMWENGU
Post: MIIKO YA WASWAHILI/WAAFRIKA NA TAMADUNI ZA ULIMWE...

MIIKO  YA WASWAHILI/WAAFRIKA NA TAMADUNI ZA ULIMWENGU Pamoja na mambo mengine mengi, mgeni au wageni hupenda kujifunza tamaduni za wenyeji. Hata kama watazidharau lakini lazima kwanza wazijue. Mimi n...
MwlMaeda Historia ya makabila ya kibantu 0 1,136 06-14-2021, 07:11 PM
    Thread: WASIFU WA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Post: WASIFU WA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE

Aprili 13, mwaka 1922, safari ndefu ya maisha ya Mwalimu Kambarage Nyerere iliyochukua miaka 77 na miezi 6 ilianza Mwitongo kijijini Butiama, kilomita takribani 30 kutoka mji wa Musoma, mashariki mwa ...
MwlMaeda Wasifu/Tawasifu 0 1,633 06-14-2021, 07:20 PM
    Thread: TAWASIFU YA SHAABAN ROBERT
Post: TAWASIFU YA SHAABAN ROBERT

KATIKA kitabu chake cha tawasifu “MAISHA YANGU NA BAADA YA MIAKA HAMSINI” Shaaban Robert anasimulia dhiki, adha na udhalili alioupitia, pengine kwa sababu ya Uafrika wake, kipindi cha ukoloni akiwa ka...
MwlMaeda Wasifu/Tawasifu 0 1,271 06-14-2021, 07:25 PM
    Thread: WASIFU WA SITI BINTI SAAD
Post: WASIFU WA SITI BINTI SAAD

Siti binti Saad alizaliwa katika kijiji cha Fumba, Zanzibari (http://sw.wikipedia.org/wiki/Zanzibari) mwaka 1880. Alipozaliwa alipewa jina la ‘Mtumwa’ hii ni kwa vile alizaliwa katika kipindi cha utum...
MwlMaeda Wasifu/Tawasifu 0 1,412 06-14-2021, 07:42 PM
    Thread: UFAHAMU NA UFUPISHO (ZOEZI)
Post: UFAHAMU NA UFUPISHO (ZOEZI)

Soma kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata    Niliendelea mbele kidogo, nikasema, nikatazama kulia, kushoto, mbele nyuma halafu kushoto tena, huku nikiwa makini zaidi. Moyo wa...
MwlMaeda Mitihani 0 989 06-15-2021, 07:14 AM
    Thread: Lugha za Kibantu
Post: Lugha za Kibantu

Lugha za Kibantu ni kundi la lugha ambalo ni tawi la lugha za Niger-Kongo. Lugha za Kibantu huzungumzwa hasa katika nchi za Nigeria, Kamerun, Guinea ya Ikweta, Gabon, Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya K...
MwlMaeda Historia ya makabila ya kibantu 0 1,091 06-15-2021, 07:24 AM
    Thread: HISTORIA YA WACHAGA
Post: HISTORIA YA WACHAGA

WACHAGA Usuli Wachaga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu lakini pia mchanganyiko wa damu, hasa ya Kikushi wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro.Shug...
MwlMaeda Historia ya makabila ya kibantu 0 3,615 06-15-2021, 07:45 AM