MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
TOFAUTI YA FASIHI NA TANZU NYINGINE ZA SANAA

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
TOFAUTI YA FASIHI NA TANZU NYINGINE ZA SANAA
#1
Fasihi na tanzu nyingine za sanaa kama uchongaji, ususi, utarizi, muziki, ufumaji, uchoraji, ufinyanzi na maonyesho vinatofautiana kwa kiasi kikubwa kama ilivyoorodheshwa katika hoja hizi:
  • Kazi za fasihi hutumia lugha.
  • Kazi za fasihi hutumia wahusika.
  • Kazi za fasihi hutumia mandhari.
  • Kazi za fasihi huwa na utendaji ambao hujitokeza zaidi katika fasihi simulizi, ambapo, fanani na hadhira yake hutenda.
  • Kazi za fasihi zina fani na maudhui.
  • Huwa na uwanja maalumu wa kutendea
  • Hukutanisha fanani na hadhira ana kwa ana
  • Huweza kubadilika kulingana na wakati na mazingira mfano fasihi simulizi
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)