MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
ETIMOLOJIA YA NENO "BILADI ''

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
ETIMOLOJIA YA NENO "BILADI ''
#2
HII NDIYO ETIMOLOJIA YA NENO BALAGHAMU/BELGHAMU

Neno balaghamu/belghamu katika lugha ya Kiswahili ni nomino: Ngeli: li-/ya- yenye maana ya kioevu kizito kilichochanganyika na utandoute kinachotolewa kwa wingi kwa njia ya kupumulia hususan mtu anapougua mafua au kikohozi, mate mazito yanayokuwa kooni ambayo hutoka mtu anapokohoa.

Msemo: Toa balaghamu zako: toa hasira zako.

Katika lugha ya Kiarabu, neno hili balaghamu/belghamu limechukuliwa kutoka neno la  Kiarabu  balghamu soma: balghamun/balghaman/balghamin  بلغم  lenye maana ya mate yaliyochanganyika na kamasi na hutoka kwa njia ya upumuaji, dutu laini ya mate iliyochanganyika na kamasi; kohozi.

Kinachodhihiri ni kuwa neno balghamun بلغم lilipoingia katika Kiswahili na kutoholewa kuwa neno balaghamu/belghamu halikubadili maana katika lugha asili- Kiarabu.

Shukran sana.

Khamis S.M. Mataka.
Reply


Messages In This Thread
ETIMOLOJIA YA NENO "BILADI '' - by MwlMaeda - 08-08-2022, 08:08 PM
- - by Wayzep - 10-10-2022, 02:01 AM

Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)