MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
SWALI: Faida ya misimu katika kuhifadhi historia ya jamii.

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
SWALI: Faida ya misimu katika kuhifadhi historia ya jamii.
#1
SWALI: Moja ya faida ya misimu ni kuhifadhi historia ya jamii. Toa mifano ya misimu zagao iliyovuma Tanzania katika vipindi vifuatavyo:

MAJIBU
(a) Muda mfupi baada ya kupata uhuru.
  • Kichele
  • Mabeberu
  • Uhuru na kazi
  • Makabwela
  • Walalahoi
(b) Miaka ya Azimio la Arusha.
  • Kabaila
  • Bwanyenye
  • Ukupe
  • Mchumia tumbo
  • Ujamaa
  • Kujitegemea
© Njaa ya mwaka 1974/1975.
  • Unga wa yanga
  • Kufunga mkanda
  • kumbakumba
(d) Miaka ya vita vya Kagera.
  • Nduli
  • Fashisti
(e) Kipindi cha hali ngumu ya maisha baada ya vita vya Kagera.
  • Ukata
  • Ulanguzi
  • Kabachori
(f) Kipindi cha kuanzia 1985 hadi sasa
  • Ruksa
  • Ngangari
  • Ngunguri
  • Wapambe
  • Wafurukutwa
  • Wakereketwa
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 2 Guest(s)