08-31-2021, 08:58 AM
SWALI: Moja ya faida ya misimu ni kuhifadhi historia ya jamii. Toa mifano ya misimu zagao iliyovuma Tanzania katika vipindi vifuatavyo:
MAJIBU
(a) Muda mfupi baada ya kupata uhuru.
MAJIBU
(a) Muda mfupi baada ya kupata uhuru.
- Kichele
- Mabeberu
- Uhuru na kazi
- Makabwela
- Walalahoi
- Kabaila
- Bwanyenye
- Ukupe
- Mchumia tumbo
- Ujamaa
- Kujitegemea
- Unga wa yanga
- Kufunga mkanda
- kumbakumba
- Nduli
- Fashisti
- Ukata
- Ulanguzi
- Kabachori
- Ruksa
- Ngangari
- Ngunguri
- Wapambe
- Wafurukutwa
- Wakereketwa