MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
SIFA NA MAADILI YA MFASIRI BORA

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
SIFA NA MAADILI YA MFASIRI BORA
#1
  • Awe mahiri wa lugha mbili zinazohusika; kuwa mahiri katika lugha maana yake nini? Ni kujua vizuri nyanja mbalimbali za Isimu ya lugha husika kama vile; Fonolojia-Matamshi, Mofolojia-Maumbo, Sintaksia-Muundo na Semantiki-Maana.
  • Ajue vizuri utamaduni wa watu mbalimbali.
  • Ajue angalau lugha mbili
  • Awe na maarifa ya TEHAMA (ICT)
  • Awafahamu watu, jamii na utamaduni wao – mitazamo kuhusu watu, mitazamo – kuhusu wanyama.
  • Apende kujisomea na kujiendeleza kulingana na mabadiliko ya jamii. Mfano; kusoma vitabu, majarida, magazeti mbalimbali kusikiliza redio na kuangalia TV nk.
  • Awe mwandishi bora.
    MAADILI YA MFASIRI BORA (ETHICS)
  • Awe mwaminifu kwa matini na kwa mwenye matini; yaani asipotoshe habari au kusema uongo.
  • Awe mchapakazi (Kujituma/Bidii katika kazi)
  • Awe nadhifu – Unadhifu-mwonekano wa moyo, asiwe tapeli/laghai
  • Aelewe/kuelewa taratibu za kazi na kuzifuata. Mfano; bei ya kutafsiri kwa ukurasa au kwa maneno.
  • Ushirikiano/kushirikiana na watu mbalimbali wa fani mbalimbali, makundi mbalimbali ikiwa pamoja na wafasiri wenzake.
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)