MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
ETIMOLOJIA YA NENO 'BAGHAMI'

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
ETIMOLOJIA YA NENO 'BAGHAMI'
#1
HII NDIYO ETIMOLOJIA YA NENO 'BAGHAMI'

Neno *baghami* katika lugha ya Kiswahili ni *nomino: [Ngeli: a-/wa-*] yenye maana ya mtu aliyepungukiwa akili.

Katika lugha ya Kiarabu, neno hili *baghami* limechukuliwa kutoka neno la Kiarabu  *'baghama* ambalo ni kitenzi cha Kiarabu chenye maana zifuatazo:

1. (Kwa mnyama Paa) amempigia mwanawe kelele kwa sauti nyembamba.

2. (Kwa mnyama Ngamia) ameacha kutoa sauti.

3. (Kwa mazungumzo) hakufafanua na hakubainisha maana yake.

4. (Nomino) koja au mkufu anaouvaa mwanamke.

Kinachodhihiri ni kuwa neno *'baghama بغم* lilipoingia katika Kiswahili na kutoholewa kuwa neno *baghami* lilichukua maana mpya ya *mtu aliyepungukiwa na akili* na kuacha maana zake katika lugha ya asili - Kiarabu.

*Shukran sana.*

*Khamis S.M. Mataka.*
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)