MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
SHAIRI: SAFARI YANGU

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
SHAIRI: SAFARI YANGU
#1
SAFARI YANGU

1. Anongozile Mtume,
Na Masihi Mfalme,
Nitunge tenzi niseme,
Waisome nchi hizi. 

2. Ninakuomba Wadudi,
Masihi na Muhamadi,
Mnitieni juhudi,
Beti nitunge mashazi.

3. Beti mashazi mashazi,
Nizinene waziwazi,
Zenee habari hizi,
Wazaliwa na Wazazi.

4. Wazaliwa na Wazazi,
Wazisome wasihizi,
Kumbe tele kuzihozi,
Zenye raha na machozi.

5. Nataka niwambe waja,
Ingawa kwao si hoja,
Basi mie Mara moja,
Wakanipe masikizi.

6. Moyoni linanipwita,
  Nabaki kutwetatweta,
Kooni likinipita,
Moyo wangu tabarizi.

7. Katika maisha yangu,
Yalinifika machungu,
Nami niliwaza tangu,
Kueleza waziwazi.

8. Nitapata afueni,
Hadhira waelezeni,
Likibakia moyoni,
Laniletea maradhi.

9. Leo nimedhamiria,
Ili nibaki sawia,
Ya sadiri tawambia,
Kwa kina bahari zi.

10. Zi ndo kina bahari,
Nizitunge beti nzuri,
Na watunzi mashuhuri,
Wazisifu beti hizi.

11.
Mwl Maeda
Reply
#2
(09-13-2021, 11:12 AM)MwlMaeda Wrote: SAFARI YANGU

1. Anongozile Mtume,
Na Masihi Mfalme,
Nitunge tenzi niseme,
Waisome nchi hizi. 

2. Ninakuomba Wadudi,
Masihi na Muhamadi,
Mnitieni juhudi,
Beti nitunge mas
3. Beti mashazi mashazi,
Nizinene waziwazi,
Zenee habari hizi,
Wazaliwa na Wazazi.

4. Wazaliwa na Wazazi,
Wazisome wasihizi,
Kumbe tele kuzihozi,
Zenye raha na machozi.

5. Nataka niwambe waja,
Ingawa kwao si hoja,
Basi mie Mara moja,
Wakanipe masikizi.

6. Moyoni linanipwita,
  Nabaki kutwetatweta,
Kooni likinipita,
Moyo wangu tabarizi.

7. Katika maisha yangu,
Yalinifika machungu,
Nami niliwaza tangu,
Kueleza waziwazi.

8. Nitapata afueni,
Hadhira waelezeni,
Likibakia moyoni,
Laniletea maradhi.

9. Leo nimedhamiria,
Ili nibaki sawia,
Ya sadiri tawambia,
Kwa kina bahari zi.

10. Zi ndo kina bahari,
Nizitunge beti nzuri,
Na watunzi mashuhuri,
Wazisifu beti hizi.

11.

Ninatamani uendelee maana utenzi ni mzuri mno.
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 2 Guest(s)