07-21-2021, 08:40 PM
Dhana hizi kwa maoni yangu bado hazijashiba taaluma na matumizi.
Hata hivyo kwanza naomba ninyamaze kwa miezi kadhaa.
Kwa sababu ninachokiona siwezi kukionya maana kila jicho huona upeo wa uwezo wake ilhali muonyaji hukataza au kutahadharisha (kuonya) kwa uelewa, ufahamu au msimamo wake.
Said S. Ali
Hata hivyo kwanza naomba ninyamaze kwa miezi kadhaa.
Kwa sababu ninachokiona siwezi kukionya maana kila jicho huona upeo wa uwezo wake ilhali muonyaji hukataza au kutahadharisha (kuonya) kwa uelewa, ufahamu au msimamo wake.
Said S. Ali
Mwl Maeda