MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
Kwa nini 7/7 na si tarehe nyingine?

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Kwa nini 7/7 na si tarehe nyingine?
#1
Kwa nini 7/7 na si tarehe nyingine?

Tarehe iliyopendekezwa ya siku ya Kiswahili duniani ni tarehe 7 mwezi Julai kwa kuwa katika tarehe hiyo mwaka 1954 ni siku ambayo chama cha Tanganyika African National Union, TANU chini ya hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilipitisha Kiswahili kama lugha ya kuunganisha harakati za ukombozi. Bila shaka, Rais wa zamani na pia Baba wa Taifa la Kenya, Hayati Mzee Jomo Kenyatta, pia alitumia lugha ya Kiswahili kupitia kauli yake maarufu, “Harambee” ya kuhamisha watu wakati wa harakati dhidi ya ukoloni. Zaid iya hapo tarehe 7 mwezi Julai mwaka 2000, jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC, ilianzishwa tena kurejesha ushirikiano na utangamano baina ya wananchi wa Kenya, Tanzania na Uganda ambako Kiswahili kinazungumzwa zaidi. Rwanda, Burundi na Sudan Kusini zimejiunga baadaye na ni wanachama wa EAC.
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)