08-21-2021, 10:10 AM
Hadithi ya Yesu Kristo – Kiswahili, Tanzania lugha / The Story of Jesus – Swahili, Tanzania Language
Kuna baadhi ya watu kwa sababu tu ya kasumba zao hawataki kuamini kuwa Kiswahili si lugha ya kubeza na inastahili kupewa hadhi ya kuwa lugha ya kufundishia katika nchi zetu za Afrika. Matumizi ya lugha hii kutafsiria kazi mbalimbali, kutumiwa katika mitandao ya kijamii na kufunzwa kwa lugha hii katika vyuo vya nje ni ushahidi wa wazi juu ya kuimarika kwa lugha hii.
BOFYA HAPA KUTAZAMA >>>>
Kuna baadhi ya watu kwa sababu tu ya kasumba zao hawataki kuamini kuwa Kiswahili si lugha ya kubeza na inastahili kupewa hadhi ya kuwa lugha ya kufundishia katika nchi zetu za Afrika. Matumizi ya lugha hii kutafsiria kazi mbalimbali, kutumiwa katika mitandao ya kijamii na kufunzwa kwa lugha hii katika vyuo vya nje ni ushahidi wa wazi juu ya kuimarika kwa lugha hii.
BOFYA HAPA KUTAZAMA >>>>
Mwl Maeda