MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
HADITHI ZA KIAFRIKA

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
HADITHI ZA KIAFRIKA
#1
Hadithi hadithi…….
Hapo zamani za kale, palikuwepo na mwanaume mmoja jambazi aliyeoa mwanamke mwizi. Basi mwanamke alibeba mimba ,na wakati wa ujauzito wake, mume na mke waliketi kusemezana…. Mwanamke alimuuliza mumewe, “Hivi mume wangu, tunatarajia kuzaa mtoto wa aina gani?”
Mwanaume alijibu “sijui”.
Hadithi hadithi……
Hapo zamani za kale palitokea kundi la wanyiramba waliokuwa wamepanda gari la wazi wakielekea safari ya mbali,
basi wakiwa katika mwendo, walifika sehemu iliyokuwa na miba iliyotanda, juu, kondakta akawaambia
” inama”
wao wakaitikia inama ikole wakimaanisha nyama iko wapi? Sasa wakati wakiendelea kupepesa macho kutafta wapi kuna nyama,

Basi ,muda wa kujifungua ukafika, na mkunga akamsaidia yule mwanamke kuzaa, baada ya mtoto kutoka, alionekana kufumbata kiganja kimoja cha mkono wa kushoto.
Walipokifungua kiganja walikuta pete ya ndoa ya mkunga aliyokuwa ameikwapua wakati akitoka.
Ghafla walijikuta wakiraruruwa na miba usoni, wengine wakabaki vifua wazi kutokana na nguo zao kuchanwa chanwa.
Hadithi yangu inaishia hapo
Hapo zamani za kale palitokea binti aliyekua na kunawili, alikuwa mtoto wa mfalme Matata.
Binti huyo aliitwa Majivuno, basi wazazi wake walipenda nayeye alijivuna kutokana na sura, au umbile zuri alilokuwa nalo.
Vijana kadhaa waliowahi kujitokeza kutaka kumuoa ,aliwakataa kutokana na wao kuwa na kipato cha chini, ama kweli penzi la maskini ni sawa na chai isiyo na sukari.
Hayawi hayawi yakawa, kijana mmoja aitwaye Mgeni, alijitokeza kumchumbia, kutokana na utanashati wake na kuonekana mzee wa pochi, msichana alikubali na akaolewa.
Wakiwa katika maisha, vituko vilianza kupishana, harufu ya uvundo ikazidi kujonga, kila wakati mumewe alikuwa akidamka usiku kwenda kulima,
Bunti majivuno alijiuliza, hivi kwanini mume wangu huenda shambani usiku tu?
Kama kawaida, siku inayofuata mumwewe alimuaga mkewe kwenda shambani, ili kujua nini kinaendelea juu ya mumewe, Binti majivuno aliamua kunyatia mpaka karibu na shamba,
Alipoangaza macho, kwa mbali aliona moto mkubwa sana, na kundi la minyama mikubwa, aliposogelea alimuona mumewe akiwa na mkia huku moto ukitoka mdomoni wakati huohuo miti ikitetezwa mithili ya majani makavu shashikapo moto,
Kuona hivyo Binti alitimka bio mpaka kijijini kwa wazazi wake huku akitwet, walipomuuliza ,kulikoni? Alijibu “Mume wangu ni Zimwi
Wazazi wakamwambua mwananetu, ulikataaa palipo pema, ukanaswa pabovu,
Ama kweli Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu, na mkataa pema ,pabaya panamwita
HADITHI YANGU INAISHIA HAPO,
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)