MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
SIFA ZA MLUMBI

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
SIFA ZA MLUMBI
#1
Ulumbi ni uwezo wa kipekee wa kuzungumza mbele ya hadhira. Mtu mwenye uwezo huo wa kipekee wa kuzungumza jukwaani huitwa mlumbi. Walumbi husifika sana kwa kuzungumzia mambo yanayoathiri jamii.

Sifa za Mlumbi

  1. Ana uwezo wa kushawishi watu kuhusu ujumbe anaopitisha.
  2. Huwa mkwasi wa lugha anayeifahamu vizuri lugha yake.
  3. Hutumia lugha ya kuvutia na kumakinisha hadhira
  4. Anaifahamu sana hadhira yake na maswala yanayoiathiri.
  5. Ni kiongozi.
Umuhimu wa Ulumbi katika jamii

  1. Kuhamasisha jamii kuhusu mambo yanayowakabili.
  2. Kuunganisha watu watekeleze jambo fulani kwa pamoja
  3. Kuburudisha
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)