10-27-2021, 08:06 AM
Kanga au leso ni vazi ambalo asili yake imefungamana na utamaduni wa waswahili wanaoishi katika pwani ya Afrika Mashariki. Katika makala ya “asili na tamaduni” tunaangazia asili ya kanga na matumizi yake katika jamii ya waswahili.
Mwl Maeda