Kama ilivyo kwenye tanzu za fasihi simulizi, haijawa rahisi kueleza tanzu za fasihi andishi kutokana na mikinzano inayoonekana
miongoni mwa wanazuoni.Wataalamu wengi wa awali wa fasihi ya Kiswahili walibainisha kuwa fasihi andishi ina tanzu tatu ambazo ni Ushairi, riwaya na tamthiliya.
MBUNDA MSOKILE 1992: Uhakiki wa fasihi
Yeye anasema tanzu za fasihi andishi zipo tatu; nazo
ni:
ni:
–
Riwaya
Riwaya
–
Ushairi
Ushairi
–
Tamthiliya
Tamthiliya
NKWERA 1976:
Sarufi na Fasihi, Sekondari na vyuo
Sarufi na Fasihi, Sekondari na vyuo
Anafanana na
Msokile, naye anatambua tanzu tatu ambazo ni:
Msokile, naye anatambua tanzu tatu ambazo ni:
–
Riwaya
Riwaya
–
Ushairi na
Ushairi na
–
Tamthiliya
Tamthiliya
MULOKOZI 1996
Anaanza kuhoji
uhakiki wa tanzu tatu. Yeye anasema tanzu za fasihi andishi si tatu ni nne;
nazo ni:
uhakiki wa tanzu tatu. Yeye anasema tanzu za fasihi andishi si tatu ni nne;
nazo ni:
–
Ushairi
Ushairi
–
Riwaya
Riwaya
–
Tamthiliya na
Tamthiliya na
–
Kisa
Kisa
M’NGARUTHI
2008
2008
Yeye
anakubaliana na Mulokozi kuwa tanzu zipo nne lakini hakubaliana katika majina. Yeye
anatambua:
anakubaliana na Mulokozi kuwa tanzu zipo nne lakini hakubaliana katika majina. Yeye
anatambua:
–
Ushairi
Ushairi
–
Hadithi fupi
Hadithi fupi
–
Riwaya na
Riwaya na
–
Tamthiliya
Tamthiliya
Kinachoitwa Kisa
na Mulokozi M’ngaruthi anakiita Hadithi
fupi. Wataalamu wa Kenya wanakubaliana na M’ngaruthi, hivyo mfumo wa elimu
ya Kenya unatambua tanzu alizoziainisha M’ngaruthi.
na Mulokozi M’ngaruthi anakiita Hadithi
fupi. Wataalamu wa Kenya wanakubaliana na M’ngaruthi, hivyo mfumo wa elimu
ya Kenya unatambua tanzu alizoziainisha M’ngaruthi.
Hata hivyo,
wataalamu wengine wameendelea kuhoji juu ya tanzu nne, kwa sababu novela
nazo zinaingia wapi?
wataalamu wengine wameendelea kuhoji juu ya tanzu nne, kwa sababu novela
nazo zinaingia wapi?
Mfano:
WAMITILA, 2008
WAMITILA, 2008
Yeye anataja:
–
Riwaya
Riwaya
–
Tamthiliya
Tamthiliya
–
Novela
Novela
–
Insha
Insha
–
Ushairi
Ushairi
–
Hotuba
Hotuba
–
Sira
Sira
–
Masimulizi ya wasafiri
Masimulizi ya wasafiri
Japokuwa Wamitila
hakiri moja kwa moja kuwa ni tanzu za fasihi andishi lakini anachambua
vipengele hivi kama vinavyojitegemea kila kimoja.
hakiri moja kwa moja kuwa ni tanzu za fasihi andishi lakini anachambua
vipengele hivi kama vinavyojitegemea kila kimoja.
SABABU
YA MIKINZANO YA WANAZUONI JUU YA TANZU ZA FASIHI ANDISHI
1. Hawakubaliani
katika istilahi/majina ya tanzu mf. Mulokozi kuna utanzu anauita Kisa lakini M’ngaruthi anauita Hadithi fupi.
katika istilahi/majina ya tanzu mf. Mulokozi kuna utanzu anauita Kisa lakini M’ngaruthi anauita Hadithi fupi.
2. Hawakubaliani
katika idadi mf. Nkwera (1976)
anasema kuna tanzu tatu wakati Mulokozi (1996) na M’ngaruthi (2008) wanasema
zipo tanzu nne.
katika idadi mf. Nkwera (1976)
anasema kuna tanzu tatu wakati Mulokozi (1996) na M’ngaruthi (2008) wanasema
zipo tanzu nne.
3. Kuna
utata katika mpangilio. Yaani ni utanzu
upi uanze, mf. Mulokozi (1996) anaanza na Ushairi, riwaya, Kisa na tamthiliya
wakati M’ngaruthi (2008) anaanza na riwaya, tamthiliya, mashairi andishi na
hadithi fupi.
Mwl Maeda