KISWAHILI NA WASWAHILI
Kodoa macho na tega sikio umsikilize aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (UKUTA) Marehemu Mzee Salim bin Ali bin Hemed (Kibao) bin Abdallah bin Ali Albuhury ndugu halisi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (UKUTA) Marehemu Sheikh Mohamed Ali Albuhury, akimwaga lulu za Kiswahili.
Kodoa macho na tega sikio umsikilize aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (UKUTA) Marehemu Mzee Salim bin Ali bin Hemed (Kibao) bin Abdallah bin Ali Albuhury ndugu halisi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (UKUTA) Marehemu Sheikh Mohamed Ali Albuhury, akimwaga lulu za Kiswahili.
Mwl Maeda