MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
Michezo ya Watoto/Chekechea

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Michezo ya Watoto/Chekechea
#1
Michezo ya Watoto/Chekechea
  • Michezo inayoigizwa na watoto katika shughuli zao.
Aina
  1. Mchezo wa baba na mama
  2. Kuruka kamba
  3. Kujificha na kutafutana
  4. Kukimbiza kibaramwezi dhidi ya upepo ili kizunguke
  5. Mchezo wa baba na mama
Sifa
  1. Waigizaji ni watoto.
  2. Huhusu shughuli za kiuchumi na kitamaduni k.v. arusi, siasa, ukulima.
  3. Huandamana na nyimbo za watoto.
  4. Huwa na miondoko mingi k.v. kujificha, kuruka.
  5. Huwa na matumizi mengi ya takriri.
  6. Huchezwa popote.
  7. Huwa na kanuni fulani.
  8. Hukoma watoto wakichoka au wakikiuka kanuni
Umuhimu
  1. Kufunza watoto majukumu yao ya utu uzima.
  2. Kuwatanguliza watoto katika sanaa ya uigizaji.
  3. Kukuza ubunifu wa watoto kadiri wanapoendelea kuigiza.
  4. Kudumisha utamaduni wa jamii.
  5. Kuburudisha watoto.
  6. Kukuza stadi ya uigizaji miongoni mwa watoto.
  7. Kukuza utangamano miongoni mwa watoto kwa kuwajumuisha pamoja.
  8. Kukashifu matendo hasi ya watu wazima kwa watoto.
  9. Kuwapa watoto ukakamavu na kujiamini wakiwa wachanga.
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)