08-28-2021, 10:05 AM
SWALI: Kwa kutumia mifano ya virai nomino vinavyoundwa na nomino zaidi ya moja na kiunganishi “na”, bainisha na kufafanua kinagaubaga mikakati inayotumiwa na wazungumzaji wa Kiswahili kupatanisha kisarufi virai vya namna hiyo na maneno mengine yanayoambatana navyo. Mifano yako ijumuishe nomino za kutoka ngeli moja na ngeli tofautitofauti. Kwa mfano, ‘baba na mama’, ‘heshima na wema’, ‘nguo na farasi’, ‘chapati na maziwa’, ‘kitumbua na sahani’ na kadhalika.
FUNGUA HAPA CHINI KUPATA DONDOOO ZA MAJIBU
FUNGUA-HAPA.pdf (Size: 104.31 KB / Downloads: 1)
FUNGUA HAPA CHINI KUPATA DONDOOO ZA MAJIBU
FUNGUA-HAPA.pdf (Size: 104.31 KB / Downloads: 1)
Mwl Maeda