MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
WATUNZI WA FASIHI WANATAFUTWA - Printable Version
JIFUNZE KISWAHILI
WATUNZI WA FASIHI WANATAFUTWA - Printable Version

+- JIFUNZE KISWAHILI (https://jifunzekiswahili.co.tz)
+-- Forum: My Category (https://jifunzekiswahili.co.tz/forumdisplay.php?fid=1)
+--- Forum: Watunzi wa Kiswahili (https://jifunzekiswahili.co.tz/forumdisplay.php?fid=17)
+--- Thread: WATUNZI WA FASIHI WANATAFUTWA (/showthread.php?tid=2841)



WATUNZI WA FASIHI WANATAFUTWA - MwlMaeda - 10-08-2022

Habari Njema kwa watunzi na Utunzi wa kazi za Fasihi nchini Tanzania.

Kampuni ya Uchapishaji ya APE imo katika mradi wa kukusanya simulizi za Watunzi kisha kuzihifadhi zimulizi hizo kwa manufaa ya sasa na ya baadaye.
Mradi huu unahisaniwa na kampuni ya Uchapishaji ya APE ya Jijini Dar es Salaam. Mradi unaratibiwa na Prof. Mulokozi kwa kusaidiwa na ndugu A. A. Majid Mswahili. Safu nzima ya mradi huu ni pamoja na ndugu E. Mshahara na ndugu P. A. Daudi katika sekta ya ufundi.

Mpaka sasa mradi umewafikia Watunzi wa Dar es Salaam na Zanzibar. Ikiwa wewe bado hujafikiwa,  tafadhali tutafute kwa nambari 0715 838480.

Watunzi ambao tayari wameshatoa simulizi zao ni hawa wafutao;

Kutoka  18/7/2022 hadi  7/10/2022 Hawa ndio wamefikiwa:

1. Amiri Sudi Andanenga x2
2. Ikbal Shaaban Robert (Ndugu wa Mwandishi)
3. Iddy M. Mwimbe
4. Prof. Shani Omari
5. Hussein Wamaywa
6. Dkt Elizabeth Mahenge 
7. Prof. Emmanuel Mbogo
8. Shafi Adam Shafi
9. Kevin Mponda
10. Hafidh Kido
11. Bi. Sikudhani Jalala
12. Bi. Shani Kitogo
13. Charles Mloka
14. Amiri Kaluta (Ndugu wa Mwandishi)
15. Hamisi Kisamvu
16. Athumani Mauya
17. Mwafrika Merinyo
18. Ali Athumani Masoud (Zbar)
19. Bi. Saada Kassim Ahmed (Zbar)
20. Ali Mwalim Rashid (Zbar)
21. Rose Mbijima
22. William E. Mkufya
23. Happy Msokile (Ndugu wa Mwandishi)
24. Ismail Himu
25. Esther Mngodo
26. Chambi Chachage (Ndugu wa Mwandishi)
27. Prof. Penina Muhando
28. Richard Mabala
29. Elieshi Lema
30. Mudhihir M. Mudhihir
31. Wakati Mwaruka (Ndugu wa Mwandishi)
32. Abdallah J. Saffari
33. Mugyabuso M. Mulokozi
34. Farouk Topan (Zbar)
35. Ali Mohamed Ali (Zbar)
36. Nassor Hilal Kharusi (Zbar)
37. Bi. Riziki Mohamed Juma (Zbar)
38. Amir Ali Mohamed (Zbar)
39. Ali Abdallah Bahroon  (Zbar)
40. Simba Haji Gora (Zbar) (Ndugu wa Mwandishi)
41. Ally Salehe (Zbar)
42. Bashiru Abdallah (Zbar)
43. Rashid Mbwana (Zbar)
44. Nassor Hilal Kharusi (Zbar)
45. Bi. Sabra Amran (Zbar)
46. Frank Masai
47. Hussein Molito Omari .
48. Dotto Rangimoto
49. Dickson Mtalaze
50. Florida Kezilahabi (Ndugu wa Mwandishi)
51. Abyas Mzigua
52. Godftrey Mishomari
53. Shaaban Mngazija
54. Mudi Mwanaharakati 
55. Latifa Ntanga
56. Nahida Esmail
57. Khadija Jilala
58. Fr Felician Nkwera
59. Primus Karugendo (Ndugu wa Mwandishi)
60. Bi. Pilli Dumea 
61. G.P. Mwamwingila
62. Dkt. Harrison Mwakyembe
63. Bi. Yustar A. Lucas
64. Amiri Sudi Andanenga (mara ya 2)
65. Elias Mutani   
66. Stallone Joyfully
67. Hussein Tuwa
68. Abdullah Saiwaad
69. Suleiman Kijogoo

Karibu sana katika SAUTI YA MTUNZI, tufuatilia kupitia anuani hiyo hapo chini.

Aidha, usipitwe na kipindi cha Siri ya Sifuri kila Jumatano saa 3: 00 usiku Channelten.