MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
JIFUNZE KISWAHILI - SWALI: Taja changamoto zinazoikabili fasihi simulizi kutokana na maendeleo ya sasa

JIFUNZE KISWAHILI

Full Version: SWALI: Taja changamoto zinazoikabili fasihi simulizi kutokana na maendeleo ya sasa
You're currently viewing a stripped down version of our content. View the full version with proper formatting.
MAJIBU:
  • Kutoweka kwa mawasiliano ya ana kwa ana baina ya fanani na hadhira.

  • Vitendo vya fanani na hadhira havionekani (kufifia kwa uhai na uhalisia wa fasihi simulizi)

  • Kupungua kwa hadhi, ubora, ladha na mvuto wa kazi ya fasihi simulizi.

  • Hupunguza na kubagua hadhira kutokana na njia za uhifadhi na uwasilishaji.

  • Kupunguza uwezo wa fanani kuhifadhi kazi za fasihi simulizi kichwani.

  • Huzuia mabadiliko ya papo hapo

  • Huingiza gharama kutokana na gharama za uandaaji na uhifadhi

  • Huwa mali ya mtunzi badala ya jamii nzima
hadhira huwa tuli hasa ikihifadhiwa kwa maandishi

(06-14-2021, 07:02 PM)MwlMaeda Wrote: [ -> ]MAJIBU:
  • Kutoweka kwa mawasiliano ya ana kwa ana baina ya fanani na hadhira.

  • Vitendo vya fanani na hadhira havionekani (kufifia kwa uhai na uhalisia wa fasihi simulizi)

  • Kupungua kwa hadhi, ubora, ladha na mvuto wa kazi ya fasihi simulizi.

  • Hupunguza na kubagua hadhira kutokana na njia za uhifadhi na uwasilishaji.
  • uwasilishaji wake huwa wa muda mrefu kutokana na maandalizi yake.
  • Kupunguza uwezo wa fanani kuhifadhi kazi za fasihi simulizi kichwani.

  • Huzuia mabadiliko ya papo hapo

  • Huingiza gharama kutokana na gharama za uandaaji na uhifadhi

  • Huwa mali ya mtunzi badala ya jamii nzima