08-31-2021, 07:54 AM
MASWALI NA MAJIBU- 4: DARASA LA 3 & 4
SEHEMU A: MISAMIATI: Chagua jibu lililosahihi
SEHEMU B: Nahau na methali
Mfano: Kufa maji ………….kufia ndani ya maji
Mara tu mvua za vuli zilipoanza Mzee Lazaro “alipaza” sauti yake juu na kusema “…hameni wote mliojenga na kuishi mabondeni” watu walitahamaki kuona hakuna aliyesikia tamko hilo la Mzee Lazaro. Mvua zilipozidi kumiminika ndipo mjomba alisema “asiyesikia la mkuu huvunjika guu” watu wengi waliaga dunia na wengine kukosa mahali pa kuishi na kupoteza samani zao za ghali na kujutia kwa kutosikia sauti ya busara ya Mzee Lazaro.
MASWALI
(b) asiyesikia ya watu ataweza kuvunjwa mguu
© asiyesikia ya watu ana mkosi
(d) asiyesikia la mkubwa atafukuzwa kazi
MAJIBU
SEHEMU A: MISAMIATI: Chagua jibu lililosahihi
- Kamchape aliwakumbuka sana marehemu watoto wake akashikwa na ……………na kuomboleza.
- Ali …………pesa katika kiganja cha mkono na kukimbia hadi dukani.
- …………..mvua zikanyesha na watu wakapanda mbegu za kila aina.
- Juma alipigwa………….kuonekana katika eneo la shule kwa sababu ya wizi.
- Kila tarehe 14 Oktoba tuna………….kumbukumbu ya kifo cha hayati Mwalimu J.K. Nyerere.
- Huyu ni ………….wa hapa kijijini kwetu.
- Huu ………..mpaka wa shule yetu.
- Sikukuu ya Idd baba alichinja ……………mkubwa.
- Tulikaribishwa kwenye ………ya harusi.
- Alimeza ………….mbili za dawa.
SEHEMU B: Nahau na methali
Mfano: Kufa maji ………….kufia ndani ya maji
- Mkono wa birika………………………..
- Unga mkono……………………………..
- Mtoto wa kikopo……………………….
- Ana mkono mrefu……………………..
- Kutoa rambirambi………………………
- Zimwi ……………………………………
- Kuku mgeni……………………………..
- Nina chemchemi isiyokauka………………
- Ukumbuu wa babu mrefu…………………
- Ukiona vyaelea……………………………
Mara tu mvua za vuli zilipoanza Mzee Lazaro “alipaza” sauti yake juu na kusema “…hameni wote mliojenga na kuishi mabondeni” watu walitahamaki kuona hakuna aliyesikia tamko hilo la Mzee Lazaro. Mvua zilipozidi kumiminika ndipo mjomba alisema “asiyesikia la mkuu huvunjika guu” watu wengi waliaga dunia na wengine kukosa mahali pa kuishi na kupoteza samani zao za ghali na kujutia kwa kutosikia sauti ya busara ya Mzee Lazaro.
MASWALI
- Ni ipi maana ya methali “Asiyesikia la mkuu huvunjika guu”.
(b) asiyesikia ya watu ataweza kuvunjwa mguu
© asiyesikia ya watu ana mkosi
(d) asiyesikia la mkubwa atafukuzwa kazi
- Neno “samani” lina maana ipi?
- “Waliaga dunia” neno hili lina maana gani?
- Waliopuuzia sauti ya Mzee Lazaro walipoteza nini?
- Mara tu mvua zilipoanza Mzee Lazaro ………….sauti yake juu.
MAJIBU
- A
- D
- B
- B
- B
- C
- C
- C
- B
- C
- Mchoyo
- kubaliana naye
- mtoto wa muhuni
- mwizi
- kutoa mchango msibani
- halikuli likakwisha
- hakosi kamba mguuni
- mate
- barabara
- vimeundwa
- B
- A
- A
- A
- C