MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MULIKA : MAELEKEZO KWA WAANDISHI WA MAKALA

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
MULIKA : MAELEKEZO KWA WAANDISHI WA MAKALA
#1
MULIKA ni jarida la taaluma ya Lugha na Fasihii ya Kiswahili. Jukumu lake kuu ni kukusanya na kusambaza maarifa yanayohusu Lugha na Fasihi ya Kiswahili yaliyokitwa katika utafiti mpevu. MULIKA limeendelea kuwa daraja kati ya watumiaji wa Kiswahili popote walipo, na wataalamu wa Kiswahili katika Sekondari na Vyuo vya Elimu ya Juu Afrika ya Mashariki.
Kamati ya Uhariri
Dkt. Ernesto
Mosha
–  Mkurugenzi, Taasisi ya Taaluma za                                                                                     Kiswahili
Prof. Mugyabuso
Mulokozi                   –      Mhariri Mkuu
Dkt. Mussa
Hans
–      Mhariri Msaidizi
Dkt. Lutz
Diegner
–    Chuo
Kikuu cha Humboldt,Ujerumani
Dkt. Athumani
Ponera
–    Chuo Kikuu cha Dodoma, Tanzania
Dkt. Miriam Kenyani
Osore
–   Chuo Kikuu
cha Kenyatta, Kenya
Washauri wa wahariri
Prof. Cyprean
Niyomugabo
–      Chuo
Kikuu cha Rwanda, Rwanda
Prof. Sangai Mohochi

–       Chuo
Kikuu cha Rongo, Kenya
Dkt. Abel Mreta

–        Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania
Dkt. Joseph Nyehita
Maitaria
–     Chuo Kikuu cha Karatina, Kenya
Dkt. Selemani
Sewangi
–        Baraza la Kiswahili la Taifa, Tanzania
Prof. Ipara
Odeo
–       Chuo Kikuu cha Kibabii, Kenya
Dkt. Wael Nabil
Ibrahim
–    Chuo Kikuu cha Al Azhar, Misri
MAELEKEZO KWA WAANDISHI
WA MAKALA
MULIKA ni jarida la
taaluma ya Lugha na Fasihii ya Kiswahili. Jukumu lake kuu ni kukusanya na
kusambaza maarifa yanayohusu Lugha na Fasihi ya Kiswahili yaliyokitwa katika
utafiti mpevu. MULIKA limeendelea kuwa daraja katti ya watumiaji wa Kiswahili
popote walipo, na wataalamu wa Kiswahili katika Sekondari ba Vyuo vya Elimu ya
Juu Afrika ya Mashariki.
Jarida huchapishwa mara
moja kwa mwaka.
Jarida linapokea Makala
yaliyoandikwa kwa Kiswahili TU. Makala yapigwe chapa kwenye karatasi za A4,
mistari ikitengwa kwa kipimo cha nafasi mbili. Upande mmoja tu wa karatasi
utumiwe.
Mwandishi awasilishe
kwa Mhariri, nakala tatu za muswada wake, pamoja na nakala      tepe iliyowekwa katika mfumo wa kikompyuta
katika muundo wa Microsoft WORD.
Ukurasa wa kwanza wa
Makala uoneshe jina la Makala, jina kamili la mwandishi (au waandishi) wa
Makala (Ikiwa ni pamoja na wwadhifa wake) na anuani yake.
Ukurasa wa pili uoneshe
jina la Makala na ufupisho wa Makala (Ikisiri) kwa maneno yasiyozidi 300. Jina
la mwandishi lisiandikwe.
 
Unapotaja marejeleo
kwenye matini taja jina l mwisho la mwandishi, likifuatiwa katika mabano na
tarehe ya chapisho lake na kurasa zilizorejelewa, k.m. Yahya (1983:139). Kwenye
orodha ya marejeleo au bibliografia majina ya marejelewa yapangwe kialfabeti.
Tanbihi ziwekwe namba
na zitumike pale tu inapobidi. Maelezo ya tanbihi yatolewe kwenye ukurasa wa
pekee mwisho wa Makala, yaani ya kuorodhesha marejeleo.
Makala yatatathiminiwa
na walau wasomaji wawili, bila ya wao kujua mwandishi ni nani. Waandishi waepuke
kuweka utambulisho wowote katika Makala zao ilo  wanaosoma Makala hayo na
kuyatathmini wafanye kazi yao kwa uyakinifu. Waandishi ambao Makala yao
yatakubaliwa kuchapishwa watapatiwa  NAKALA MOJA YA Jarida lenye Makala
yao pamoja na malopoo kumi ya Makala yao.
Makala yapelekwe kwa:
Mhariri
MULIKA
Taasisi ya Taaluma za
Kiswahili
Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam
CHANZO >>>>>>>
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)