MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
Lugha 5 zinazozungumzwa zaidi Afrika

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Lugha 5 zinazozungumzwa zaidi Afrika
#1
Kwa Afrika lugha zinazozungumzwa ni  kati ya 1500 mpaka 2000 lakini kati ya hizi Kuna Lugha zinazozungumzwa zaidi. Umewahi Kujiuliza Kiswahili ni Lugha ya ngapi kuzungumzwa zaidi?

Kwa mujibu wa mtandao wa AnswersAfrica hizi ndizo lugha tano zinazozungumzwa zaidi Afrika.


1. KIARABU
  • Kiarabu ndiyo Lugha inayozungumzwa zaidi barani Afrika ni Lugha inazongumzwa zaidi katika nchi za Afrika ya kaskazini na Baadhi ya maeneo karibu na Jangwa la Sahara, Kiarabu huzungumzwa kwenye nchi kama Tunisia, Misri, Morocco, Algeria na Sudan Kaskazini,Chad, Djibouti  na Libya salamu ya Kiarabu kwa kusema Mambo Au Hello  ni AL SALAAM A’ALAYKUM
 
2.KISWAHILI
 
  • Lugha yetu ya ASILI kabisa Hii ambayo karibu kila mtanzania huzungumza maana ndiyo lugha ya Taifa, Kiswahili ni Lugha ya pili kuzungumzwa zaidi barani Afrika ni Lugha ambayo tafiti mbalimbali zinaonyesha ni Lugha inayokuwa kwa kasi.
  • Kiswahili huzungumzwa zaidi katika nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na nchi nyingine kama Rwanda, Burundi, kaskazini mwa msumbiji, kusini mwa somalia na Congo mashariki.Kiswahili ndiyo mama wa maneno maarufu kama Hakuna matata, Simba na safari. mambo ya kwataunit.com Tunakupa Unachohitaji.
 
3.HAUSA
 
  • Ni Lugha ya tatu kuzungumzwa zaidi Afrika inazungumzwa zaidi Afrika ya Magharibi  inajulikana pia kama Haoussaa,Habe, abakwariga Kihausa kinazungumzwa kwenye nchi kama Nigeria, Chad, Togo, Niger, Ghana, Benin na Burkinafaso,. Kusema Hello kihausa ni SANNU.
 
4.KIINGEREZA
 
  • Kiingereza ni Lugha ambayo inashika nafasi ya 4 kuzungumzwa zaidi Afrika ni Lugha ambayo ilienea zaidi Afrika kutokana na Ukoloni ila kwasasa imekuwa Lugha ya Kufundishia kwenye Taasisi mbalimbali za Kielimu Afrika.
 
5.AMHARIC
 
  • Ni Lugha Ngeni kidogo kwa watu wengi ila ndiyo Lugha ya 5 kuzungumzwa zaidi Afrika, Ni Lugha ambayo kwenye eneo kubwa la Janga la Sahara Huzungumzwa, ni lugha ya pili kuzungumzwa baada ya kiarabu Kaskazini mwa Afrika inajulikana pia kama amarigna, amarinya, kuchumba, hii ndiyo lugha ya taifa ya Ethiopia,  Kusema Hello Kwenye luha ya AMHARIC ni SALAM.
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)