MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
JACKSON MAKWETA: KIONGOZI WA KWANZA KUSHAURI MATUMIZI YA KISWAHILI KATIKA NGAZI ZOTE

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
JACKSON MAKWETA: KIONGOZI WA KWANZA KUSHAURI MATUMIZI YA KISWAHILI KATIKA NGAZI ZOTE
#1
JACKSON MAKWETA: KIONGOZI WA KWANZA KUSHAURI MATUMIZI YA KISWAHILI KATIKA NGAZI ZOTE ZA ELIMU
   

> Mwaka 1982, Tume ya Makweta ilitoa mapendekezo hayo ili kuboresha mfumo wa elimu
> Alikuwa Waziri wa Elimu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza
Waziri wa Elimu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza Mh Jackson Makweta. Pia aliwahi kuwa waziri wa maji nishati na madini katika awamu ya pili. Aliandika rekodi kwa kushikilia ubunge jimbo la Njombe kaskazini kuanzia mwaka 1975 hadi mwaka 2010 alipong’olewa na Deo Sanga
Mwaka 1982, Tume ya Rais ya Elimu iliyojulikana kama “Tume ya Makweta” ilitoa mapendekezo kuhusu uboreshaji wa mfumo wa elimu na mitaala. Utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Makweta na utafiti wa TET ulichukua muda mrefu kutokana na mdororo wa kiuchumi wa dunia, ukata ambao pia uliiathiri Tanzania
Ripoti ya Makweta ya 1982 iliyopendekeza kutumia Lugha ya Kiswahili kama Lugha ya Kufundishia masomo yote tangu elimu ya wali hadi Chuo Kikuu huku Kiingereza kikifundishwa vizuri kama somo kwenye Taasisi ya Lugha za Kigeni (Institute of Foreign Languages) na matawi yake nchi nzima
Jackson Makweta alifariki novemba 17, 2012
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)