MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
MyBB Internal: One or more warnings occurred. Please contact your administrator for assistance.
ETIMOLOJIA YA NENO 'AFYUNI

Thread Rating:
  • 0 Vote(s) - 0 Average
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
ETIMOLOJIA YA NENO 'AFYUNI
#1
HII NDIYO ETIMOLOJIA YA NENO 'AFYUNI'

Neno *afyuni* katika lugha ya Kiswahili ni *nomino [Ngeli:i-/i-]* yenye maana ya 'kileo chenye umbo la kidonge kunachotengenezwa kutokana na utomvu wa *mpopi*( *afyuni* ) , ambacho kwa kawaida hutumika kama tiba ya kutuliza maumivu, aghalabu hutumiwa kinyume cha sheria kama dawa  ya kulevya.

Katika lugha ya Kiarabu, neno hili *afyuni* (soma: *afyuunun/afyuunan/afyuunib افيون)* lina maana ya 'dutu inayotolewa kwenye mpopi (afyuni) ambayo inatia ganzi na hutumiwa kwa kutuliza maumivu na kuleta usingizi, pia hutumika vibaya kama dawa ya kulevya.

Kinachodhihiri ni kuwa neno *afyuni* ( *soma: afyuunun/afyuunan/afyuunin افيون*) lilipoingia katika Kiswahili na kutoholewa  kuwa neno *afyuni* halikubadili maana yake ya msingi katika  lugha ya asili - Kiarabu.

*Shukran sana.*

*Khamis S.M. Mataka.*
Mwl Maeda
Reply


Forum Jump:


Users browsing this thread: 1 Guest(s)