09-09-2021, 07:04 AM
Historia ya mtu anayeitwa Mswahili inaonekana kutotiliwa maanani sana na wataalamu wengi kiasi cha kuibua hofu miongoni mwa waswahili kuwa pengine ipo njama ya kuwameza na kuwapoteza waswahili katika historia ya jamii za Mwambao.
Mwl Maeda